Kanuni za Ufugaji Bora wa Kuku wa Kienyeji (new)

Kaya nyingi hapa nchini hujihusisha na ufugaji wa kuku kwa lengo la kujipatia chakula na kipato. Mazao yatokanayo na ufugaji wa kuku ni pamoja na mayai, nyama, mbolea na manyoya kwa ajili ya matumizi mbalimbali. Mifumo ya ufugaji kuku ambayo hutumika hapa nchini ni huria, nusu huria na shadidi. Ufugaji wa kuku utakuwa endelevu na wenye tija kwa kufuata kanuni za ufugaji bora zifuatazo:- • Kufuga kuku kwenye banda bora • Kuchagua kuku bora wa kufuga • Kutunza na kulisha kuku kulingana na hatua mbalimbali za ukuaji • Kudhibiti na kutibu magonjwa ya kuku • Kutunza kumbukumbu BANDA LA KUKU Kuku huhitaji banda bora ili…

JIFUNZE UGONJWA WA NDUI YA KUKU NA TIBA YAKE (new) I Mshindo Media

NAMNA YA KUTIBU UGONJWA WA NDUI YA KUKU KWA KUTUMIA DAWA ZA ASILI. DALILI ZA UGONJWA WA NDUI.· Ugonjwa wa ndui utaona kuku wako wamepata mapele kwenye kichwa yenye rangi ya kahawia, mapele hayo yanaweza kuziba mpaka macho kufanya kuku wako wasione kabisa na kusababisha kuku wako wakashindwa kula hivyo wakadhoofika kabisa na hatimaye kufa. Ugonjwa huu huwapata kuku wa rika zote lakini huathiri sana vifaranga. Mara nyingi magonjwa ya virusi ni magonjwa ambayo hayana tiba lakini yana kinga. Wape chanjo kuku wako hasa vifaranga wanapokua wamefikia umri wa siku…

VIOTA VYA KUKU /chicken nest (new) I Mshindo Media

Kiota ni sehemu ambayo kuku utaga mayai , kuatamia na kutotoa VIFARANGA Aina za viota (type of nest) 1.Kiota kilichotengenezwa na kuku mwenyewe  Ambapo kuku mwenyewe uchagua mahali pa kutagia na kuhifadhi mayai2.Kiota kilichoandaliwa na MFUGAJI Aina ya viota hivi uandaliwa na MFUGAJI katika njia stahiki ili kuweza kupata mazao imara MAHITAJI  YA MUHIMU KATIKA KIOTA Boksi la karatasi Mbao  Nyasi  Nguo ya Aina pamba Ukubwa wa KIOTA inatakiwa uwe unamwezesha kukaa na kujigeuza  Hii maana yake ni inatakiwa uwe na sentimita 35 upana sentimita 35 na urefu sentimita 35…

JINSI YA KUCHAGUA MATETEA YANAYOWEZA KUATAMIA MAYAI (new) I Mshindo Media

Yaweza kutokea baadhi ya kuku wakawa watagaji wazuri wa mayai lakini hawapendi kuatamia. Katika hali hiyo ni vyema wakachaguliwa kuku (mitetea) wengine ili kuatamia mayai yao kwa uanguaji mzuri. UTARATIBU UFUATAO UTATUMIKA Tafuta mtetea aliyefikia umri wa kutaga au kuku aliyekwishawahi kutotoa. Tafuta mawe matatu ya mviringo au viazi mbatata vya ukubwa wa yai au vibao vilivyochongwa kwa umbile la yai au mayai yasiyo na mbegu (mayai viza, au ya kuku wa kisasa). Muwekee kuku huyo mayai bandia yasiyopungua matatu kwenye kiota wakati wa usiku na umfungie humo usiku kucha…

Dairy Cattle breeds specialized in milk production (new)

Breeds of Dairy cow/The 4 most common cattle dairy breedsHow do you start a dairy farm?Things in your mind is probably which breed of dairy cattle to keep.The following are the most common breeds of dairy cows kept in Kenya Friesian Originated from Europe. It is white and black. Can also be red and white in colour.   Low butter/ fat content. High milk production. Meat production is also high.  Average live weight is 600kg. Visit via Mshindo media Guernsey Bred on the channel island of Guernsey.   Brown in colour.   Milk production…

Breeds of Livestock – Jersey Cattle (new)

Jersey The Jersey breed originated on the Island of Jersey, a small British island in the English Channel off the coast of France. The Jersey is one of the oldest dairy breeds, having been reported by authorities as being purebred for nearly six centuries. The breed was known in England as early as 1771 and was regarded very favorably because of its milk and butterfat production. At that early date, the cattle of Jersey island were commonly referred to as Alderney cattle although the cattle of this island were later…

Parvovirus Infection/Parvo (new)

Ufahamu Ugonjwa wa Canine Parvovirus Unaoweza kupoteza maisha ya Mbwa wako ndani ya muda mfupiMbwa ni mnyama kama wanyama wengine ambao huweza kupata magonjwa mbalimbali ambayo hupelekea kufa au kuwapa vilema vya maisha.Mbwa ni kama binadamu yoyote tu ambaye akishambuliwa na magonjwa basi anaweza kuwa dhaifu na kupelekea kupoteza maisha au kupona lakini pia ni wanyama kama binadamu tu wengine ambao hata wakipatwa na baadhi ya magonjwa basi wanaweza kustahimili na kupona kabisa.Basi leo tutaangalia baadhi ya magonjwa yanayowapata viumbe hivi vinavyopendwa sana na rafiki mkubwa wa binadamu.Kama ilivyo kwa…

Hydroponic fodder (new) I Mshindo media

This is the notion of hydroponics, benefits and some examples of plant species. Nowadays, how to cultivate plants by means of hydroponics is developing, because one of its advantages does not require extensive land to do so. Many people who use this technique to grow crops are just hobbies or there are also to earn income. For those of you who want to know what hydroponics is, here we summarize the explanation. A. What Is the Definition of Hydroponics?What is meant by hydroponics is how to cultivate plants by utilizing water without using soil as a…

TREATING MASTITIS WITHOUT ANTIBIOTICS (new) I Mshindo media

How long does it take for a cow’s udder to dry up?The average gestation period of cows varies from 275 to 283 days. To determine the drying-up date, subtract 60 days from the expected calving date. If you stop milking a cow, it will dry up. A cow with a high milk production of 20kg or more must be milked once a day during the last two to three days before drying up Mastitis is inflammation and infection of the udder. This is primarily a problem in dairy cows but can also occur in beef cows. Depending upon the infectious organism…

Dry Cows Management to Reduce Mastitis in the Future

Hygienic administration is essential, whether you are using antibiotic dry cow tubes, internal teatsealant or both, to prevent bacteria entering the quarter and causing infection. Note: Good hygiene is what will prevent new infections, and what happens at drying off this year will influence theincidence of new mastitis infections next year. REMEMBERWhen infusing the teat sealant, gently pinch the base of the teat closed (where the teat meets the udder) to ensure the teat sealant stays in the teat cistern. KEEP THE TUBESSTERILEDo not immerse syringes in water! If tubes…

How to successfully prevent udder infections after drying off I Mshindo media

Dry Cow Therapy If you have found that you would say yes to any of these three questions, it would be worth you reviewing the steps of your dry cow management and making the relevant changes. Recent research has found the link between infection during the dry cow period and subsequent clinical mastitis and elevated somatic cell counts (SCC) in early lactation. We have created a list of 10 steps that will help you make the necessary changes to your dry cow management process Assessing body condition score Aim for…

Infectious bronchitis (new)

Infectious bronchitis  Is a highly contagious viral respiratory infection of chickens, however the virus will also infect the urogenital and gastrointestinal tracts. The clinical signs of infectious bronchitis are non-specific and so laboratory tests are required to confirm diagnosis. Clinical signs are strongly dependent on the tropism (preferred tissue to infect) of the strain, but commonly include include coughing, sneezing and gasping in young birds, loss of appetite and wet litter. Infectious bronchitis (IB) is an acute, highly contagious, viral respiratory disease of chickens, characterized by tracheal rales, coughing, and sneezing. In addition,…

Infectious Coryza (new)

Infectious coryza is a serious bacterial disease of chickens which affects respiratory system and it is manifested by inflammation of the area below the eye, nasal discharge and sneezing. The disease is found all over the world causing high economic losses. Take note: Infections Coryza is usually acute and sometimes chronic, highly infectious disease of chickens, occasionally pheasants and guinea-fowl. Infectious Coryza is characterised by catarrhal inflammation of the upper respiratory tract, especially nasal and sinus mucosae. Infectious Coryza is caused by the bacterium Haemophilus paragallinarum and is seen in many countries…

RAISING A DISEASE-FREE POULTRY FARM (new) I Mshindo Media

The cheapest and most-effective method of disease control  is through implementing *biosecurity*.  *Bio security* ensures that the health and well being of your birds are protected hence improving the immunity and performance of your flock. *Bio security* is a management practice designed to prevent entry of diseases into a farm, and limit spread. It is an essential element to a good animal husbandry process. It is important that every poultry farmer checks if their bio security plans are strong enough to keep out diseases. Infectious diseases are introduced on farms through:…

Antibiotics for Treatment of Clinical Mastitis I Mshindo Media

The Use of Antibiotics for Treatment of Clinical Mastitis Introduction Mastitis is the most common disease of dairy cows and the most common reason that cows are treated with antibiotics . Mastitis is a bacterial infection of the udder which causes inflammation (host defenses responding to the infection).  What Types of Bacteria Cause Clinical Mastitis? What Should We Consider before Treating Mastitis? Dairy farmers should work closely with their herd veterinarian to help develop treatment protocols, provide oversight for appropriate drug use, and monitor the success of treatment.Intramammary antibiotic tubes…

Aina za Kuku na faida zake (new) – Mshindo Media.

Understand this first, Mshindo Media is around your Project The chicken is a type of domesticated fowl, a subspecies of the red junglefowl. They are one of the most common and widespread domestic animals, with a total population of 23.7 billion as of 2018, up from more than 19 billion in 2011. There are more chickens in the world than any other bird or domesticated fowl. Lifespan: 5 – 10 yearsScientific name: Gallus gallus domesticus Order: Landfowl Higher classification: Red junglefowlPhylum: ChordataMass: Sebright chicken: 620 g, Booted Bantam: 850 g, Ermellinata di Rovigo: 3.4 – 3.9 kg AINA ZA KUKU. *KUKU…

Viral Infections/Gumboro (Infectious Bursar Disease) I Mshindo Media.

 (Infectious Bursar Disease) Ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ambao hushambulia zaidi kuku, bata maji na bata mzinga. Kuku na batawadogo hadi wiki 12 ndio wanaoathirika zaidi. Jinsi Ugonjwa Unavyoenea.•Chanzo cha maambukizi ni maji, chakula na vifaa/vyombo vya shambani vilivyochafuliwa na kinyesi chakuku wagonjwa na wenye vimelea.•Maambukizi pia huenea kupitia mfumo wa hewa, kwa vumbi lenye vimelea katika mabanda. Chukua Tahadhari.Wageni, wafanyakazi na magari yanaweza kusambaza ugonjwa kutoka shambahadi shamba au banda hadi banda. Hii ni pamoja na kuku hai, vifaa/vyombo vya shambani na bidhaazitokanazo na kuku (mayai, nyama, manyoya na…

Poultry Feed formulation (new) I Mshindo media

HOW TO FORMULATE YOUR OWN CHICKEN FEEDThe common ingredients are whole maize, maize germ, cotton seed cake, soya beans, sunflower or fish meal (Omena).In addition, farmers need to add several feed additives (micronutrients, minerals and vitamins) to make ensure their chicken have a balanced feed that meets their daily nutrient requirements. Material is available cheaply, especially after the harvesting season. Depending on the cost of raw material, farmers who make their own feeds at home save between 30 to 50 per cent for every 70kg bag of chicken feed, depending…