BAKTERIA KWA KUKU (new) I Mshindo Media

Bacteria

Ni vimelea ambavyo havionekani kwa macho yakwaida , bakteria wengi uishi katika mimea na wanyama waliohai au waliokufa 

Bakteria wanaosababisha homa upatikana katika miili ya kuku KUPITIA vinyesi vyao , mucus , chakula , maji 

Aidha bakteria upatikana sehemu zenye mazingira machafu (unyevunyevu na joto) 

Magonjwa muhimu yanayosabishwa na bakteria ni ! 

Homa kali ya matumbo 

Kipindupindu cha kuku

Kuhara Choo cheupe

Mafua makali

NB:Ni vema uhakikishe unakiga kuku wako DHIDI ya magonjwa ya bakteria kwa kusafisha banda na vyombo vya chakula

Magonjwa mengi ya BAKTERIA uwa na dawa/tiba Isipo kuwa magonjwa mengi virusi uwa hayana tiba mbadala

…………………………………………………………………………………………….

Share Now

Related posts